Jennifer Lopez Ahusishwa Skendo ya Picha za Utupu

Umeandika Mtandao wa Sohh:

Kwa mujibu wa taarifa, jamaa anayeitwa Rodrigo Ruiz amefungua kesi dhidi ya J. Lo akidai kwamba mwanamuziki na muigizaji huyo alimuomba yeye amtumie picha zake za utupu pamoja na demo ya mziki wake.

Anasema barua hiyo ilimpelekea kuamini kwamba ana nafasi kwenye maisha yake ya kimuziki na hata kwenye mahusiano ya kimapenzi na Lopez, ila  sababu J.Lo hakuendelea kufatilia hivyo jamaa alikuja kukata tamaa.

Ruiz amesema amekwazika sana maana alitegemea angekuja kuwa mtu mkubwa. Ruiz alitutumia machache ya kwenye barua yenye mistari mitatu ambayo aliipokea toka kwa “Lopez” ila ukiyasoma utaona kama ni ujinga … 

Ya kwanza ilisoma, “Nataka nikufahamishe kwamba nakukumbuka na bado nipo na nia nawe. Nina mpango wa kuachana na mume wangu. Ila siwezi kusema zaidi kwa muda huu hivyo tuishie hapa kwa sasa. Nitumie picha zako zote ukiwa na nguo na bila kuwa na nguo.”

(Mtandao wa TMZ umeandika)

Kwa bahati mbaya, kumbe kuna mwanamke mwengine mwenye umri miaka 53 ambaye ndiye anaweza kuwa nyuma ya mkasa huu.
 

Kwa kuongeza juu ya shitaka hilo, Ruiz amefungua kesi ya polisi akidai kunyanyasika kijinsia. Ruiz bado anaamini Lopez alituma barua zile kwake, ila kumbukumbu zinaonyesha Sanduku la Posta (S.L.P) alilotumia linamilikiwa na mwanamke anayeishi L.A mwenye umri wa miaka 53. 

Tulimpigia kumuuliza shitaka na kila kitu kingine, na kwa uwoga alijieleza kuwa yeye anahusika kwenye kushughulikia mabadilishano ya barua za washabiki wa Jennifer Lopez… Kisha akatukatia simu.

Muwakilishi wa wa J.Lo aliieleza TMZ, “hili ni suala dogo linaloonekana lina nia ya kuchafua jina lake, Ms Lopez hajawahi kumuona wa kukutana na mshitaki, pia hajawahi kuwasiliana naye. Tunaamini jambo hili kwani linatakiwa kupuuzwa na kufutwa.”

(TMZ Imeandika)
read more "Jennifer Lopez Ahusishwa Skendo ya Picha za Utupu"

ANGALIA: Hivi Kweli Beyonce Anakula Denda na Nyani Huyu? [PICHA]

Hivi karibuni mwanamuziki nyota wa Marekani Beyonce, alishea picha zake mbalimbali zilimuonyesha akiwa anacheza na wanyama kwenye siku ya kuzaliwa kwa mwanaye, Ivy Blue kwa pati iliyofanyika ndani ya Miami.
Moja kati ya picha zilimuonyesha akiwa amemkumbatia nyoka wa albino akiwa amemzunguka kwa kupita kwenye shingo yake, huku yeye akionekana kutazama kamera.

Upendo wake kwa wanyama haukuishia hapo mara baada ya picha ya pili kumuonyesha akiwa anambusu nyani kimtindo.

Mcheki hapo chini...

 
read more "ANGALIA: Hivi Kweli Beyonce Anakula Denda na Nyani Huyu? [PICHA] "

Jamaa Azinduka Mochwari na Kupiga Kelele Masaa Zaidi ya 15 Toka Hospitali Ilipotangaza Kuwa Amefariki [VIDEO]

Wafanyakazi kwenye mochwari moja nchini Kenya walipigwa na butwaa mara baada ya kusikia kelele za kuomba msaada zikipigwa toka kwenye chumba hicho na mtu aliyetangazwa kuwa amekufa.

Shuka chini kuangalia video ya tukio hilo...
Tukio hilo la ajabu na kusikitisha lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita lilikuja mara baada ya jamaa huyo aliyefahamika kwa jina la Paul Mutora kufikishwa hospitali hapo akiwa hajitambui. Wahudumu wa hospitali hiyo walijua jamaa huyo kuwa tayari alikuwa ameshafariki hivyo waliamua kumpeleka mochwari kuhifadhi mwili wake.

Imeelezwa kwamba Paul alikuwa na marumbano na baba yake ambayo yalisababisha kuamua kuchukua uamuzi wa kunywa dawa ya kuulia wadudu katika hali ya kutimiza lengo lake.
 

Alifikishwa hospitali akiwa hajitambui na sumu aliyokunywa ilimfanya aonekana kuwa kama amekufa.

Mpaka sasa uchunguzi unaendelea kwenye hospitali hiyo kujua ilikuwaje uzembe huo umetokea.

Angalia video hapo chini...

read more "Jamaa Azinduka Mochwari na Kupiga Kelele Masaa Zaidi ya 15 Toka Hospitali Ilipotangaza Kuwa Amefariki [VIDEO]"

KASHFA YA NGONO: Picha za Utupu za Kimada wa Rais wa Ufaransa Zawekwa Kwenye Mtandao (+18 Pekee!)

Julie Gayet
Rais wa Ufaransa, Francois Hollande, hivi karibuni amekuwa kwenye shutuma mara baada ya kugundulika kuwa alikuwa anajihusisha kimapenzi na muigizaji wa filamu, Julie Gayet.

Tetesi hizo zilisababisha kulazwa kwa mpenzi wake, Valérie Trierweiler na kufatiliwa kwa karibu kwa maisha binafsi ya Gayet.

Muigizaji huyo kwa siku za karibuni amekuwa akihusishwa kwenye picha nyingi za filamu alizowahi kucheza ambazo zinamuonyesha akiwa mtupu huku zikisambaa kwenye mitandao mbalimbali.

Cheki picha hizo hapo chini....


read more "KASHFA YA NGONO: Picha za Utupu za Kimada wa Rais wa Ufaransa Zawekwa Kwenye Mtandao (+18 Pekee!)"

Hawa ni Makahaba Waliwafanya Marapa Mashuhuri Kuzama Kwenye Penzi Zito - Amber Rose, Blac Chyna, Maliah Michel [PICHA]

Yalipita ni zile siku ambazo ili mwanamke aweze kupata mwanaume ilibidi awe mwanamke bora kweli kweli.

Siku hizi wanaume wengi weusi hupenda kuwa na wanawake ambao kwa namna moja ama nyingine mwanzoni walionekana kuwa wameshindikana nao huchukua jukumu la kuwabadilisha kuwa mademu wa ukweli.

Kanye West kwa Amber ni mfano tosha kuwa mmoja kati ya wanaume waliowapenda wasichana walioshindikana kuwafanya wawe wanawake haswa.

Wiz Kalifa alizama kwenye mapenzi kwa Amber Rose naye aliweza kumbadilisha kuwa mwanamke anayeheshimika na jamii.

Rappa Tyga alizama kwenye mapenzi na kahaba maarufu aliyejulikana kama Black Chyna, hii ni mara baada ya kumuona akiwa anafanya kazi yake kwenye klabu moja ya usiku, kwa sasa wamechumbiana na wana mtoto mmoja.

Mfano mwengine ni kama ilivyo kwa Amber ambaye amebadilika na kuwa mwanamke anayejiheshimu tofauti na mwanzoni, kama unakumbuka aliwahi kuwa na mahusiano na Kim na Kanye.

Hii ni kuthibitisha kwamba hata wale wasichana ambao tunaona kwamba wameshindikana kabisa kwenye jamii yetu inabidi tujue kwamba nao wanaweza kubadilika na kupenda kweli.

Ishu kuu hapa ni juu ya hawa marapa au wanaume kuzama kwenye mapenzi na hawa wanawake, kuna mifano mingi ningeweza kukuwekea ila kwa hiki nnachotaka kukifikisha hapa hii michache inatosha.

Nimekuwa nikijiuliza nyota au maceleb wa kibongo kama wanaweza kufunguka na kuwa wazi juu ya kutoka na makahaba, binafsi na labda wengi wetu tunajua kwamba huwa wanakutana nao japo wengi wao hufanya kwa siri.

Je mwanaume wa Kitanzania anaweza kufunguka ya kuwa anatoka na kahaba mpaka ifike hatua ya kumuoa?

Inawezekana kwa sasa mahusiano yanayojilikana sana kumuhisisha kahaba na mwanamuziki ni kati ya Wiz na Amber, naamini hii inatokana na ukweli kuwa wanaendana.

Ikumbukwe mwanzoni Wiz alikuwa anatoka na Natalie Nunn ambaye alionekana kwenye video chafu ya Olu Mantain na katika mchakato wa video hiyo ndipo alipokutana na Amber Rose na ikawa hivyo.
Kanye alianza, alionyesha Ulimwengu kwamba mtu yeyote anweza kuwa na mahusiano ya kawaida hata akiwa na tofauti gani na ndipo mahusiano yake na Amber Rose yalipoanza.


Tyga, Black Chyna na Mtoto wao

Black Chyna
Siku hizi Black Chyna anavaa vitu vya thamani vinavyotengenezwa na wanamitindo wakubwa yote ni kwa hisani ya mpenzi wake Tyga.

Black Chyna
Labda nikukumbushe kitu kingine ambacho inawezekana ulikuwa hukifahamu, achana na Rihanna, mnamo mwaka 2009 kipindi ambacho Drake alikuwa anatoka kwenye game, alikutana na kahaba aitwaye Maliah Michel na kuzama naye kwenye dimbi la mapenzi kiasi cha kufikia hatua Drake alindika wimbo kumzungumzia msichana huyo.

Licha ya mapenzi yake kwa Riri, bado Drake alikuwa anaenda kupitia mlango wa nyuma kwa kahaba huyo, inasemekena kwamba nyimbo nyingi za Drake zinazozungumzia kuumizwa kimapenzi zimekuwa zikimlenga msichana huyo.

Drake na Maliah Michel
Kwa kumalizia tu, kama ulikuwa hufahamu, mwanamuziki Eve E na Lady Gaga kabla hawajawa wenye majina waliyonayo nao sasa pia nao walianzia kwenye makahaba.

Eve E

read more "Hawa ni Makahaba Waliwafanya Marapa Mashuhuri Kuzama Kwenye Penzi Zito - Amber Rose, Blac Chyna, Maliah Michel [PICHA]"

Huyu Hapa Rihanna Mtupu Akiwa Ufukweni kwa Ajili ya Picha za Jarida la Vogue [PICHA]

Rihanna ameuchachia mwili wake matata akiwa hana hata sidiria huku vipande vya karatasi pekee vikiziba chuchu zake, picha hizi ni maalum kwa jarida la Vogue toleo la Brazil ambazo alizipiga ufukweni…
Wengi wangeweza kudhani kwamba picha hizi amezipiga kwa ajili ya jarida la For Him (FHM), hapana ila ukwli ni kwamba picha hizi ni ajili ya jarida linalokubalika sana la mitindo la Vogue toleo maalum la nchini Brazil.

Nyota huyo wa muziki wa pop amepigwa picha tano za maeneo tofauti huku akiwa kwenye pozi mbalimbali alipokuwa akipozi kwa ajili ya picha hizozilizopigwa kwenye kisiwa Angra dos Reis kilichopo nchni Brazil.






read more "Huyu Hapa Rihanna Mtupu Akiwa Ufukweni kwa Ajili ya Picha za Jarida la Vogue [PICHA]"

TENA: Waumini Wanywa Mkojo wa Ng'ombe kwa Ajili ya Kutibu Kansa, Kisukari, Matatizo ya Tumbo na Kuondo Vipara Kichwani [PICHA]

Kwa mujibu wa Daily Mail, Waumini wa Hindu wanaamini kwamba Ng'ombe ni mnyama aliyebarikiwa na wanasema mkojo wake unasaidia kuponya vitu mbalimbali.

Japokuwa wanasisistiza kwamba mkojo wa ng'ombe unaotakiwa kunywewa ni ule wa ng'ombe bikira - ambaye hajawahi kuzaa. Pia, mkojo unatakiwa kuchukuliwa kabla ya jua kutoka na hapo ndipo mkojo huo unapokuwa na matokeo mazuri.

Pia wamesema kwamba kunywa mkojo wa ng'ombe ndio njia bora ya kuondoa vipara kwenye kichwa.
 

Angalia picha hapo chini..
Jairam Singhal, 42, ambaye amekuwa akinywa mkojo wa ng'ombe kwa zaidi ya muongo mmoja ametoa ushuhuda juu ya faida za kiafya zinazosababishwa na mkojo huo::

    ‘Nilikuwa na kisukari, ila toka nimeanza kunywa mkojo wa ng'ombe, kiwango cha kisukari nimeweza kukikabili. Mtu mmoja aliniambia kunywa mkojo wa ng'ombe ni mzuri kwa afya. Tumekuwa na ng'ombe hapa kwa zaidi ya miaka 12, hivyo kitu cha kwanza kukifanya asubuhi ni kuchukua mkojo wa ng'ombe na kuunywa.’


Cheki picha zaidi hapo chini...





read more "TENA: Waumini Wanywa Mkojo wa Ng'ombe kwa Ajili ya Kutibu Kansa, Kisukari, Matatizo ya Tumbo na Kuondo Vipara Kichwani [PICHA]"

Naomba Msaada..! Mume wa Dada Yangu Ananitaka [BARUA]

Toka nilipohamia nyumbani kwa dada yangu, mume wake amekuwa akisumbua sana maisha yangu, kwanza alinitumia meseji na nilidhani ilikuwa ni utani, jana usiku tu, na kwa makusudi ametoka kunishika kalio langu nilipokuwa jikoni napika, hakika nilikasirika sana mpaka nilikataa kula na dada yangu aliniuliza kwa nini naonekana kama nimekasirika? Sikuwa na neno la kumjibu sababu yule mume wa dada alikuwa ananiangalia machoni.

Mchana wa leo alinitumia meseji nyingine akinieleza kwamba dada yangu anategemea kusafiri siku ya Ijumaa na atarudi Jumapili hivyo atakuwa na mimi kwa muda wote na kwa raha zake, hebu fikiria? Je nahitaji kumueleza dada yangu juu ya hili na je atajisikiaje? Sababu nisingependa kuzua matatizo kati yao.

Naomba ushauri -
read more "Naomba Msaada..! Mume wa Dada Yangu Ananitaka [BARUA]"

INASIKITISHA: Angalia Picha za Watu Walioharibika Kutokana na Kujichubua [PICHA]

Hii ni maalum kwa wote wanaojichubua au kuwa na mpango huo, naamini hii inaweza kuwapa msaada. Naamini mara baada ya kuona picha hizi inaweza kukufanya ubadili uamuzi wako na kufanya maamuzi sahihi.

Angalia picha zaidi hapo chini...



read more "INASIKITISHA: Angalia Picha za Watu Walioharibika Kutokana na Kujichubua [PICHA]"

Mwanamke wa Kidenmark Abakwa na Kundi la Watu Kwenye Jiji la Delhi Nchini India

Paharganj kitongoji kilicho bize kwa muda mwingi
Polisi nchini India kwenye jiji la Delhi wapo kwenye uchunguzi unaohusisha kundi moja la ambalo limehusika na ubakwaji wa mwanamke wa mmoja wa Kidenmark ambaye alipotea njia alipokuwa njiani anarudi hotelini katikati ya jiji hilo.

Mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 51 ambaye ni mtalii alivamiwa na kundi la wanaume kwenye eneo la Paharganj mnamo siku ya Jumanne jioni. Polisi wamesema alikabwa na kubakwa akiwa amenyooshewa kisu.

Mwanamke huyo aliondoka nchini India mnamo siku ya Jumatano asubuhi, Polisi wamesema.
read more "Mwanamke wa Kidenmark Abakwa na Kundi la Watu Kwenye Jiji la Delhi Nchini India"

Hivi Unaweza Kumruhusu au Kukubali Kumuona Ndugu Yako Akiwa Amevae Bikini Hii? [PICHA]

Angalia picha kamili hapo chini...


read more "Hivi Unaweza Kumruhusu au Kukubali Kumuona Ndugu Yako Akiwa Amevae Bikini Hii? [PICHA] "

Avunjika Uume Baada ya Kuanguka Toka Kwenye Mti Alipokuwa Akifanya Mapenzi [PICHA]

Tukio moja la ajabu limetokea hivi karibuni, pale ambapo wapenzi wawili walipoamua kufanya mapenzi wakiwa juu ya mti.

Katika zoezi hilo la aina yake kwa bahati mbaya au sijui tuseme baada ya kunogewa jamaa alianguka kutoka juu ya mti huu na kuangukia sehemu zake za siri kitendo kilichosababisha maumivu makali kwake.

Wapenzi hao walikuwa kwenye siku ya tatu tu toka waanzishe mahusiano yao na waliamua kwenda kufanya mapenzi kwenye tawi la mti na shughuli ilipoanza na utamu kukolea ndipo kisanga hicho kilipotokea.

Inavyoonekana ni kwamba mwanaume huyo ambaye alikuwa yupo nusu utupu aliyejulikana kama Erik, alihitaji kujisogeza ili aweze kufaidi uhondo kwa karibu zaidi, na ndipo zoezi lao lilipoishia kwenye majanga pale jamaa alipopoteza uelekeo na kuanguka chini.

Erik alisema: "Mikono yangu iliteleza na nikajikuta nipo chini. Niliishia kujisikia poa ila gafla nilijikuta nipo chini."

Erik hakugundua nini kilikuwa kimetokea kwa mara ya kwanza - alikuwa ni demu wake Salina aliyeona uume wake ukiwa unatoka damu.
read more "Avunjika Uume Baada ya Kuanguka Toka Kwenye Mti Alipokuwa Akifanya Mapenzi [PICHA] "

Je ni Kweli Kwamba Ronaldo na Messi Pamoja na Mademu Zao Walipotezeana Kwenye Tuzo za Ballon D'or? [PICHA]

Je hii inawezekana kuwa ilikuwa ni kwa bahati mbaya au ni kweli kwamba waliamua kupotezeana...?

Wewe unaonaje?
Did Ronaldo, Messi And Their Girlfriends Snub Each Other At Ballon D'or Ceremony ? - See more at: http://www.nigeriaonpoint.com/2014/01/did-ronaldo-messi-and-their-girlfriends.html#sthash.PQqd4m3y.dpuf
read more "Je ni Kweli Kwamba Ronaldo na Messi Pamoja na Mademu Zao Walipotezeana Kwenye Tuzo za Ballon D'or? [PICHA]"

Mwanamuziki Huyu Anasema, Hakuna Ngono Mpaka Kieleweke Kwanza

Anaitwa Dencia ambaye amewahi kushirikishwa kwenye video za muziki za wasanii wakimataifa wenye majina makubwa kama Ludacris, Lady Gaga, Chris Brown, 50 Cent na wengine wengi.
Yeye pia ni mwanamuziki na amekuwa nje ya mahusiano kwa miaka miwili na zaidi, na amepanga kuishi hivyo mpaka atakapokuja kumpata mtu wa kufunga naye ndoa na si kumchezea tu.

Hivi karibuni alikuwa akichat na rafiki yake mmoja kuhusiana na hilo na kupitia ukurasa wake wa Instagram aliposti sehemu ya mazungumzo yao.


read more "Mwanamuziki Huyu Anasema, Hakuna Ngono Mpaka Kieleweke Kwanza"

Mke wa Rais wa Ufaransa Akimbizwa Hospitali Baada ya Kubaini Mahusiano ya Mume Wake na Kimada

Mke wa Rais wa Ufaransa Valerie Trierweiler mapema mnamo siku ya Ijumaa ilibidi akimbizwe hospitali mara baada ya kupata habari kwamba mume wake ambaye ni Rais wa Ufaransa, Francois Hollande, kuhusishwa kuwa na mahusiano na mwanamke mwengine wa nje.
Ofisi yake imesema Mwanamke huyo alikimbizwa hospitali kwa ajili ya mapumziko na kufanyiwa vipimo.

Mwanamke huyo ambaye yupo kwenye mahusiano na Mr Hollande bila ya ndoa alikimbizwa hospitali mara baada ya jarida la Closer kuchapisha picha zilizoonyesha mahusiano yake ya nje.

Kiongozi huyo wa Ufaransa hajakataa kwamba alifanya ziara ya siri kumtembelea muigizaji wa kike aitwaye Julie Gayet kwenye gorofa karibu na Elysee Palace ila amehoji kwa nini aingiliwe uhuru wa maisha yake binafsi.
read more "Mke wa Rais wa Ufaransa Akimbizwa Hospitali Baada ya Kubaini Mahusiano ya Mume Wake na Kimada"

Cheki Tattoo Mpya ya Rihanna [PICHA]

Hii hapa ni ni picha kamili ya tattoo mpya ya Rihanna, safari hii bad gal ameamua kujichora Msalaba kwenye mkono wake wa kulia.
Icheki hapo juu...
read more "Cheki Tattoo Mpya ya Rihanna [PICHA]"

Cristiano Ronaldo Ashinda Tuzo ya Mchezaji Bora Wa Dunia

Mchezaji wa timu ya Real Madrid na Cristiano Ronaldo ametawazwa kuwa mwanasoka bora wa mwaka 2013 wa FIFA hii ikiwa ni mara ya pili kushinda tuzo hiyo huku akiwapiku Lionel Messi wa Barcelona na Frank Ribery wa klabu ya Bayern Munich.
Mchezaji huyo nyota wa klabu ya Real Madrid alipata upinzani mkali kutoka kwa Lionel Messi na Frank Ribery kuweza kushinda tuzo hiyo kubwa kabisa duniani.
Cristiano Ronaldo aliwahi kutwaa tuzo hiyo ya mchezaji bora wa Dunia mnamo mwaka 2008 alipokuwa anaichezea klabu ya Manchester United ya Uingereza.


read more "Cristiano Ronaldo Ashinda Tuzo ya Mchezaji Bora Wa Dunia "

Jose Mourinho Asema, Nitaondoka Stamford Bridge Kama Nikifukuzwa na Chelsea

Meneja wa Chelsea Jose Mourinho amefunguka na kusema kuwa asingependa kufundisha timu nyengine zaidi ya hii aliyonayo sasa iliyopo Stamford Bridge.
Meneja huyo wa zamani wa Real Madrid, hii ni mara ya pili kwake kukalia kiti hicho cha timu hiyo iliyopo kwenye jiji la London, amesema ataondoka Stamford Bridge kama ikitokea kutimuliwa.

"Sipo hapa kufikiria nitaenda wapi  sababu sitaki kwenda sehemu nyingine," Mourinho aliieleza gazeti la London Evening Standard.

"Nitaondoka na kwenda kwengine pale Chelsea watapoamua kufanya hivyo."
read more "Jose Mourinho Asema, Nitaondoka Stamford Bridge Kama Nikifukuzwa na Chelsea"

Muangalie Mama Huyo Kwenye Vazi la Ajabu [KIAMA]

Victoria Hervey, 37 ambaye ni Muingereza mwenye umbile dogo akiwa kwenye gauni ambalo limebuniwa na mwanamitindo toka India aitwaye Gaurav Gupta, hapa ni alipokuwa kwenye pati ya Weinstein Company and Netflix mara baada ya tuzo za Golden Globe ambazo zilifanyika Jumapili usiku.

Cheki picha zaidi hapo chini... 
 


read more "Muangalie Mama Huyo Kwenye Vazi la Ajabu [KIAMA]"

Kanye Ampiga Jamaa Mwenye Miaka 18 Baada ya Kumuita Kim "Mpenda Manigga"

Kwa mujibu wa taarifa, Kanye alimpiga jamaa mmoja mwenye umri wa miaka 18 mara baada ya kumvunjia heshima yeye pamoja na Kim.

TMZ imetaarifu.


Kanye West alimvamia jamaa huyo mwenye miaka 18 ndani ya chumba cha kungojea wageni cha ofisi ya Chiropractor ... hii ni mara baada ya jamaa kumuita Kanye nigga..

Kim alikuwa yupo kwenye majengo ya hospitali ya Beverly Hills alipokuwa akipiga picha mbalimbali. Tulielezwa kwamba jamaa alikuwa akijaribu kumsaidia Kim ili aweze kuingia ndani, na ndipo alipoanza kupiga kelele akisema, "F**k hawa fa**ot-ass n****rs"" -- huku ajijaribu kumaanisha mapaparazzi.  Kim akamueleza yule kijana kwamba haikuwa sawa kutumia neno nigga. Ndipo alipoamua kumpigia kelele akisema, "F**k wewe malaya. Najaribu kukusaidia . Nyamaza wewe mpenda manigga."


Kisha Kanye akatokea na ndipo alipomvaa na kumshambulia.
read more "Kanye Ampiga Jamaa Mwenye Miaka 18 Baada ya Kumuita Kim "Mpenda Manigga""

Waumini wa Mchungaji Lesego Daniel Ambao Waliokula Majani Waanza Kuumwa na Kutapika

Waumini wa Mchungaji Daniel walijikuta wakianza kuumwa mara baada ya Mchungaji huyo kuwafanya wale wale majani.

Picha zinazofuata zinaonyesha watu tofauti wakiwa wagonjwa kwenye vyoo -  picha za vyooni zinawaonyesha wanawake wakishikilia matumbo yao, huku wanaume wakiwa wanatapika kwenye masinki.

Japokuwa Mchungaji huyo bado hajasema lolote juu ya tukio hilo ila kupitia ukurasa wake wa Facebook hapo jana aliandika: 'Mungu yupo kazini na watu wake wanatoa ushuhuda sasa'


Mchungaji Lesego Daniel

read more "Waumini wa Mchungaji Lesego Daniel Ambao Waliokula Majani Waanza Kuumwa na Kutapika"