Mr.Blue atarajia kupata Mtoto soon


Wahda & Bayser
Ni Baada ya zile story zilizovuma na hatimae Byser mwenyewe kakubali kuwa anategemea kupata mtoto na mpenzi wake wa long time kitambo anayejulikana kama Wahda Mohamed....!
Sasa Nyota njema imeshaanza kuonekana ambapo mwanadada huyo tayari ameshaanza kuvaa nguo kubwaaaaaa kama unavyoona katika picha...!
Inavyosemekana muda si mrefu Blu a.k.a Byser ataanza kuitwa baba....!

CHANZO -Teen tz
read more "Mr.Blue atarajia kupata Mtoto soon"

Masai Ilala Ijumaa hii ni Mdada Nyonga



Mdada Nyonga
Ijumaa hii kwenye Dadaz NITE @ GalaPO Club MaSai ILALA!
Swagga yetu ni MDADA NYONGA a.k.a Mwanamke Kiuno...!
Fika uonyeshe chako, kiufundi zaidi na uwe mshindi...!
Zawadi za Pesa, Vinywaji na Samani kutoka kwa Wadhamini kutolewa! 
Onyesha Wako Ufundi
Kwenye 1&2 ni Dj Dan Chibo & Dj Fax a.k.a Mguu Target!
Kama kawa kama dawaz Dadaz wanaingia FREE na Kakaz Wanalipa Buku tatu tu....!
Hakika hii si sehemu ya kukosa kwa Siku hii, Mademu Wakali, Disco Bab Kubwa na Mastaa Kibao.....!
Kiroho safi Mnakaribishwa sana!

read more "Masai Ilala Ijumaa hii ni Mdada Nyonga"

Friday Dadaz Nite Funiko Bovu

Watoto Wa Dsj in Da House

Kwaito Kwa kwenda Mbele
Warembo Kwa House
Watu Wangu na Steps
Cheki hii Nje ya Dance
Wamilazo, Gina & Manji






read more "Friday Dadaz Nite Funiko Bovu"

Ijumaa hii Swagga ni KIDUKU Chako..!

Warembo ndani ya Galapo Club Masai Ilala Kila Ijumaa

Kama unavyocheki hapo juu kwa picha hakika hii ni ya kiutu uzima na si ya kukosa!
Kwa maana huwa kuna Warembo Wakali na Mastaa Kibao hutia timu...!
Ni Friday Dadaz NITE ndani ya Galapo Club Masai (ILALA)
Ijumaa hii Swagga yetu ni "MCHUCHUMIO ukidatishwa na KIDUKU"
Zawadi za Vinywaji na Pesa Taslimu zitatolewa kwa WASHINDI watakaodatisha....!
 Ladies wanaingia Bure a.k.a FRee & Wanaume ni BUKU tatu TU...!
Dj Dan Chibo, Dj Fax and Dj Spesso na Guest Packy & Dj Micho (Pro 24)
Ni Ijumaa hii ndani ya Galapo Club Masai (Ilala)
Mnakaribishwa wote.....!

read more "Ijumaa hii Swagga ni KIDUKU Chako..!"

Theme ya Dadaz Nite yazidi BAMBA..!

Friday Dadaz Nite ndani ya Galapo Club Masai IALA Ijumaa Hii na Kila Ijumaa
Wadau Ndani ya House
Kwanza kabisa natoa Big Up kwa Kila Mmoja aliyefika na ku-show love Ijumaa iliyopita ndani ya Galapo Club Masai Ilala, hakika ilikuwa si ya mchezo ambayo si vyema kukosa.
Warembo wakali Ndani ya Galapo Masai Ilala 
Warembo na ma-duu toka kila pande huwa hawakosi, Ma-men na ma-star mbalimbambali ni kibwena.

Ni Full Bata
Kama unavyojionea si ishu ya Kukosa kila inapofika siku hiyo, Kama kawa kama dawa theme ni Dadaz Nite, Warembo wakali na Ma-star toka kila kona ya jiji wanakutana hapo kupata Good Time...!
Ni Wewe tu Ushindwe fika
 So kwa Ijumaa hii kama vipi Stay tuned kufahamu Swagga yetu itakuwa ipi.
Dj Dan Chibo, Dj Fax na Dj Spesso wakiwa kwenye moja na mbili.
Ni Mpango Mzima
Ni Ijumaa hii na kila Ijumaa ndani ya Galapo Club Masai, ambapo Ladies huingia FReeeeeeee, na Wanaume wanacangia kiingilio cha Promo kwa sasa, yaani buku tatu tuuu!
read more "Theme ya Dadaz Nite yazidi BAMBA..!"

Dadaz Nite na Simple Shoez Ijumaa

ni friday DADAz NiTE ndani ya GAlapo CluB maSai (Ilala) LEO.......!!
Si mchezo kwa jinsi itavyokuwa, ni zaidi ya IJUMAA iliyopita......!!!
ambapo Ney Wa Mitego, K-One 4 Real wali-show some love....!
Ungana na wajanja Wote kwenye Usiku unaojaa Wadada warembo mbaya...!
Swagga yetu Usiku huu ni SIMPLE na SHOEz zako....!!
Wanawake wanaingia BUUUUREEE - Na wanaume kiingilio ni cha Promo Buku 3 tu...!!
Kwenye 1&2 ni Dj Dan Chibo (Wa Milazo) Dj Fax (Mguu Target) & Dj Spesso.......! Usihadithiwe fika ukawahadithie wengine....!

NB: Galapo Masai Ipo ILALA kama kitu shukia BUNGONI, ipo Karibu na Chuo Cha Uandishi wa Habari au BASATA...!!
read more "Dadaz Nite na Simple Shoez Ijumaa"

Dadaz Nite Leo

LEO Ijumaa Ndani ya GALAPO Club Masai ILALA
Kutakuwa na USIKU wa Dadaz (Dadaz Nite)
Na SWAGGA yetu kwenye usiku huu ni......!
WEWE tu ..... "JIACHIE" utakavyo na kwa RAHA ZAKO..!
Dj Dan Chibo, Dj Fax & Spesso on the wheels of Steel....!
Kiingilio Wanawake ni Buree a.k.a FREEE Wanaume ni Sh. 3,000 tu...!
Karibuni.......!!!!
read more "Dadaz Nite Leo"