Nashindwa Kujizuia Kutofanya Mapenzi na Wateja Je Nifanyeje..? (BARUA)


Nimekuwa nikifanya mapenzi na wanaume ninao wahudumia kwenye baa moja ambapo huwa nafanya kazi na hakika nimekuwa nikijirahisisha na kutumika kiurahisi.

Ni mwanamke ambaye nipo singo na nina umri wa miaka 28. Nimekuwa nikifanya kazi ya kuuza vinywaji laini na vigumu na kwenye moja ya baa iliyopo kwenye vituo vikubwa kwa muda wa miaka mitatu sasa. Wengi kati ya wateja wetu ni madereva wa maroli, wengi wao hutokea kuvutiwa na mimi ambapo huishiakuniachia hela kama keep change. Huwa nawapa namba yangu ya simu na kuonana nao mara baada ya kazi.

Ngono ni kitu kitamu na chenye hisia za ajabu kwa maana wakati mwengine hujikuta asubuhi nikiwa nipo ndani ya roli au nikiwa na mwanaume kitandani, mtu ambaye wakati mwengine sikumbuki hata tulikuatana vipi na kuahidiana nini hasa.

Wiki iliyopita kulikuwa na mtu ambaye nilimpenda, tulifanya mapenzi matamu. Muda tu baada ya kuingia ndani tulivuana nguo na kuanza kulana denda kwa sana, alikuwa ni mstaarabu na nilivutiwa naye.

Baada ya muda tukavaa nguo bila kuongea neno lolote. Alipokuwa anaelekea mlangoni alisema "ntakutafuta". Nilijua hakuwa mkweli juu ya kuniona tena. Kwa maana ndivyo ambavyo wanaume wengi wamekuwa wakiniambia ila kiukweli huyu alikuwa tofauti.

Ila nashindwa kujizuia kuacha kulala na wanaume ambao nilishawahi kukutana nao. Wakati mwengine najisikia kama kuonyesha kuwa kweli namaanisha juu ya nnachokisema ila bado naishia kujiona mimi ni mrahisi na niliyetumika sana. Kiukweli nahitaji kuacha hili.

Nahitaji kupata mtu ambaye nitatulia naye na kuanzisha familia ila siwezi kusema hapana kwenye ngono, japokuwa wakati mwengine huwa napendelea tu ku-kiss na kushikana ila huishia pale pale, Sijui huwa nafanya nini hasa yaani ni kama sijielewi.

Kwa nini siwezi kuwa na mwanaume kwa zaidi ya usiku mmoja.....?
read more "Nashindwa Kujizuia Kutofanya Mapenzi na Wateja Je Nifanyeje..? (BARUA)"

Listi ya Rekodi za Dunia kwa Uhamisho wa Wachezaji wa Mpira wa Miguu

Cristiano Ronaldo


Rekodi ya uhamisho wa Wachezaji wa Mpira wa Miguu Dunia kwa Nchi:

read more "Listi ya Rekodi za Dunia kwa Uhamisho wa Wachezaji wa Mpira wa Miguu"

Beyonce na Jay Z Wamtembelea Kim Kardashian na Mtoto Wake North West Nyumbani

Beyonce, Jigga, Kanye & Kim
Kwa rafiki wa kweli hata uwe bize vipi kujali huwa ni kitu muhimu! Beyonce na Jay Z walitumia muda wao huku wakisitisha baadhi ya mambo ambayo waliyapanga kwenye ziara zao ili waweze kufanya kitu kioma cha msingi yumbani kwa Kris Jenner ndani ya Calabasas, Calif mnamo siku ya Jumapili, July 28, lengo likiwa ni kumtembelea Kim Kardashian na mtoto North West, chanzo kimoja toka Marekani kimeeleza.

Imeelezwa pia Kanye hakuwepo nyumbani kwa muda huo (rapa huyo kwa sasa yupo ndani ya jiji la Milan, Italy), na kwa pamoja Jay na Bey walitumia muda wao asubuhi hiyo wakiwa na Kardashian, 32, ambaye hajaonekana hadharani toka alipojifungua mtoto huyo mnamo June 15.
read more "Beyonce na Jay Z Wamtembelea Kim Kardashian na Mtoto Wake North West Nyumbani"

AIBU: Mcheki Mama Yake John Terry Alivyolewa Chakali Kutokana na Pombe za Usiku Kucha na Mkwewe (PICHA)

Mama Yake Terry Akiwa Chakali
Mama wa mchezaji wa timu ya Chelsea John Terry aitwaye Sue alijikuta akiwa amelala nyuma ya tax baada ya kitungi cha usiku mwingi.

Sue, 55, aliingizwa kwenye tax usiku wa saa 9 baada ya kutoka kwenye pati na mke wa Terry aitwaye Toni.

Mama huyo mtu mzima alijibwaga nyuma ya kiti na kufunga macho yake huku akiwa anamsubiri Toni.


Toni Mke wa Terry

Mama Yake Terry Aitwaye Sue
Ingelikuwa ndiyo mzazi wako wewe ungejisikiaje....?
read more "AIBU: Mcheki Mama Yake John Terry Alivyolewa Chakali Kutokana na Pombe za Usiku Kucha na Mkwewe (PICHA)"

Mwanamuziki Miley Cyrus Ajiachi Utupu kwa Ajili ya Kampeni


Miley Cyrus kupitia mtandao wa Twitter mnamo siku ya Alhamisi usiku alizungumzia juu ya kolabo lake na Marc Jacobs kwenye kampeni ya Linda Ngozi yako, kampeni ambayo inahusika na kukusanya hela kwa ajili ya Taasisi ya Kansa ya Chuo Kikuuu cha New York.
 
Ni picha ambayo aliitumia kwenye tweet hiyo na taarifa hiyo ndiyo ambayo imeonekana kushika vichwa vya watu zaidi kutokana na mazingira yake.

Siku za karibuni nyota huyo amekuwa kwenye kampeni hiyo, ila picha iliyotumika kwenye T-shirt hiyo imekuwa ya utupu ikishindwa kuziba sehemu zake za kike.

Picha iliyotumika ku-tweet ujumbe wa Cyrus
 
read more "Mwanamuziki Miley Cyrus Ajiachi Utupu kwa Ajili ya Kampeni"

Papa Francis Asema “Mimi ni Nani Kuwahukumu Mashoga?"

Papa Francis
Papa Francis amesema watu ambao ni mashoga hawatakiwi kutengwa na jamii.

Akiongea na waandishi akiwa anamaliza ziara yake nchini Brazil, Papa alisema msimamo wa Kanisa Katoliki ni kwamba sheria ya ushoga ni sio kitu kizuri na ni dhambi.

“Kama mtu ni shoga na anamuomba Mungu na anamaanisha, mimi ni nani kumuhukumu ?” Alisema Papa Francis.

Pia alisema alihitaji kuona nafasi kubwa kwa wanawake Kanisani, ila hawawezikani kwa wao kuwa  Wachungaji.

read more "Papa Francis Asema “Mimi ni Nani Kuwahukumu Mashoga?""

Kutana na Mwanamke Mwenye Matiti Matatu Kifuani (PICHA)


Kuna mtu mmoja kanitumia picha hii kwenye akaunti yangu ya Facebook, picha ambayo alihitaaji watu waizungumzie.

Sijui hata niiteje hali hii, je inawezekana kwa mwanamke kuwa na machungwa zaidi ya mawili kifuani mwake?

Je haya ni ya kweli au kuna utaalamu umefanyika?
read more "Kutana na Mwanamke Mwenye Matiti Matatu Kifuani (PICHA)"

Bolt Aingia Kwenye Uwanja wa Queen Elizabeth na Gari la Injini ya Rocket

Hivi ni mimi pekee ambaye sitaki kuamini kwa hiki ninachokiona ama? Walahi huyu jamaa ni wa ajabu....
read more "Bolt Aingia Kwenye Uwanja wa Queen Elizabeth na Gari la Injini ya Rocket"

Daktari Aliyempa Michael Jackson Vidonge Vilivyosababisha Kifo Chake Kuwa Huru Mwezi Oktoba

Marehemu Michael Jackson
Dr. Conrad Murray anatagemea kuwa huru toka jela itakapofika mwezi October. Daktari huyu alikutwa na hatia ya kumpa dawa ambazo zilichangia kupelekea kifo cha aliyekuwa nyota wa muziki wa pop Michael Jackson.

Daktari wa Michael Jackson anatategemea toka jela katika kipindi cha miezi mitatu ijayo, wakili wake alisema.

Conrad Murray anategemea kuwa mtu huru mnamo Oct. 28 ambapo ni chini ya miaka miwili toka alipofungwa kutokana na kumpa aliyekuwa nguli wa muziki wa pop Michael Jackson dawa zilizopelekea kusababisha kifo chake.


Murray, 61, alikutwa na hatia na kutumikia kifungo hicho mnamo mwezi November 2011.
read more "Daktari Aliyempa Michael Jackson Vidonge Vilivyosababisha Kifo Chake Kuwa Huru Mwezi Oktoba"

TBC fm TOP 20 Wiki Hii - July 28

1 . Majanga - Snura
2. Pesonally  - P Square
3. Yahaya - Lady JD
4. Nani Kamwaga Pombe Yangu -  Madee Feat. Raymond
5. Antenna - Fuse ODG
6. Joto Hasira -Lady JD Feat. Prof. Jay
7. Sina Imani - Shetta Feat. Richie Mavoko
8. Shout Up - Jos Mtambo Feat. Pipi 
9. Kama Huwezi - Rama Dee Feat. Lady JD
10. Bila Kukunja Goti - Mwana FA & AY Feat. J Martin
11.Nakupenda Pia -Wyre Feat. Alaine
12. Ukimuona - Diamond
13. No Beef (Yupo Juu) - Ngwear. Feat. TID
14. I Love You - Kassim Mganga
15. Nikumbatie - Joh Makini Feat. Fundi Samweli
16. Muziki Gani - Ney Wamitego Feat. Diamond
17. Nje Ya Box - Nikki II Feat. G Nako & Joh Makni
18. I Don’t Care - JCB Feat. Chaba & Ben Pol
19. Love Me - Izzo B Feat. Barnaba & Shaa
20. Wasi Wasi - Vumbe


Kila siku ya Jumapili Saa 8 mpaka 10 Jioni kupitia TBC fm na Dan Chibo
read more "TBC fm TOP 20 Wiki Hii - July 28"

Licheki Hekalu Jipya la Christina Aguilera Lenye Thamani ya $10 Million


Hivi karibuni mwanamuziki maarufu Christina Aguilera amenunua nyumba mpya yenye thamani ya $10.75M maeneo ya Beverly Hills, Marekani.

Fanya kuicheki picha za nyumba hii kwa ukaribu zaidi....
 
 
 







read more "Licheki Hekalu Jipya la Christina Aguilera Lenye Thamani ya $10 Million"

Cassie Akionyesha Aina Mpya ya Bikini kwa Umbo Lake Matata (PICHA)

 
 Mcheki demu wa Diddy, Cassie, akionyesha lake umbo kwa aina mpya ya bikini....


read more "Cassie Akionyesha Aina Mpya ya Bikini kwa Umbo Lake Matata (PICHA)"

Happy Birthday My Son ( Ian Chibo)

Bingwa Ian 
Leo ni siku ya kuzaliwa ya mwanangu pekee Ian, napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kumpa afya na ulinzi uliomfikisha siku hii.
 
Happy Bithday Son...

read more "Happy Birthday My Son ( Ian Chibo)"

Snura Kuachia Ngoma Mpya Wiki Ijayo

Snura na Mi
Leo kupitia kipindi cha The Takeover nilipata fursa ya kufanya mahojiano na msanii wa muziki na filamu toka hapa Bongo aitwaye Snura.

Mbali ya mengi Snura alinieleza juu ya ujio wake mpya, ambapo alisema anategemea kutoka na ngoma mpya wiki ijayo, "Mungu akijali nategemea kutoa wimbo wangu mpya siku ya Jumatano wiki ijayo" alisema Snura.

Mahojiano yaliyofanyika kwenye kipindi nnachoendesha ndani ya TBC kiitwacho The TakeOver kinachoruka kila siku za Jumatau mpaka Ijumaa kuanzia saa 8 mpaka 10 jioni.

Kaa tayari kwa ujio mpya wa Snura na safari hii habari ya mjini ni "NIMEVURUGWA".

Pichani Snura na mi kwenye picha ya pamoja...!
read more "Snura Kuachia Ngoma Mpya Wiki Ijayo"

Mama Mrembo! Shakira Akiionyesha Dunia Umbo Lake na Bikini Huku Akiwa Anakula Raha na Mpenzi Wake Pique (PICHA)

Shakira Kwenye Maji
Wachezaji wengi wa mpira wa miguu kwa sasa wapo kwenye ziara mbalimbali na timu zao, whuku wakiwa kwenye mazoezi ya nguvu kujiandaa na msimu mpya wa ligi – ila GERARD PIQUE kwa sasa yeye yupo kivyake akiwa anajiachia Hawaii na wake mrembo SHAKIRA.

Nyota huyo wa timu ya Barcelona yupo kwenye likizo ya ziada iliyorefushwa kutokana na ushiriki wake kwenye michuano ya Kombe la Mabara iliyomalizika nchini Brazil mwezi uliopita.

Na hii ni mara ya kwanza kwe Pique kumuona demu wake akiwa amevaa bikini huku kwenye jamii toka alipojifungua mtoto wao wa kiume miezi sita iliyopita.

 
Shakira na Pique



Shakira Akiwa Anakimbia
Vipi wanapendezana ama...?
read more "Mama Mrembo! Shakira Akiionyesha Dunia Umbo Lake na Bikini Huku Akiwa Anakula Raha na Mpenzi Wake Pique (PICHA)"

Nataka Kusambaza na Kuhalalisha Ndoa za Mashoga na Wasagaji Dunia Nzima - Waziri Mkuu wa Uingereza Asema

Waziri Mkuu wa Uingereza Bw. David Cameron
Waziri Mkuu wa Uingereza, David Cameron amezungumzia nia yake ya kueneza na kuhalalishwa kwa ndoa za mashoga Dunia kote leo hii alipokuwa kwenye sherehe ya kuhadhimishwa kupita kwa sheria hiyo ndani ya Uingereza.

Waziri mkuu huyo aliyasema hayo alipokutana na mashoga, wasagaji  na watetea haki zao ndani ya Downing Street.

Kwanza kabisa Bwana Cameron alielezea ni kwa jinsi gani yeye binafsi anajionea ufahari juu ya mafanikio juu nia yake ya uhalalishwaji huo wa ndoa za namna hiyo duniani kote.

Cameron aliwahi kuwaeleza wageni kwenye sherehe kama hiyo mwaka jana, huku akisema kwamba Uingereza sasa “ni sehemu nzuri kwa mashoga na wasagaji na hata sehemu yoyote ya Ulaya”.

Aliongeza, “kwamba ni mafanikio makubwa. Hiki sio kipimo changu, ni kipimo kinachotambulika kimataifa. Ila bado kuna kazi kubwa ya kufanya.”

Aliongeza pia anataka "kueneza" aina hiyo hiyo ya ndoa Duniani kote ili nchi nyingine zifuate utamaduni huo.

Mwananchi, una lolote la kuchangia..? Basi sema japo neno MOJA tu na Roho yangu itapona...!
read more "Nataka Kusambaza na Kuhalalisha Ndoa za Mashoga na Wasagaji Dunia Nzima - Waziri Mkuu wa Uingereza Asema"

I Love You (Mashairi & Wimbo) By Kassim Mganga a.k.a Tajiri Wa Mahaba

Kassim Mganga a.k.a Tajiri wa Mahaba
Verse I:
 
Sasa nimeshakuwa, Nimeshajua, Kulilinda na penzi...
Nisikuone tena kulia, Nimeshatua, raha zako mupenzi...
Uziongeze na dua, Tulilinde na penzi...
Ziongeze pesa pia, Niombee kwa Mwenyezi...!
 
Kibwagizo: (Rudia x2)

Nawe darling...
Upate japo gari....
Uwe ng'aring'ari...
Ufurahi...!
 
Verse II:

Nikupeleke Hawai ukale tende za bohari, eeeh...!
Ukirudi ujidai nkakufiche Zanzibari, eeh....!
 
Kibwagizo: (Rudia x2)

Nawe darling...
Upate upepo wa bahari....
Uwe ng'aring'ari...
Ufurahi...


Kiitikio: (Rudia x2)
 
L.O.V.E.Y.O.U I Love You, Love You Baby, I Love You, Love You Baby...
L.O.V.E.Y.O.U I Love You, Love You Baby, I Love You, Love You Baby...
L.O.V.E.Y.O.U I Love You, I Love You...!I Love You, I Love You, I Love You, I Love You, I Love You, I Love You, I Love You, I Love You...!
Verse III:

Umepata mupenzi hodari...
Mwenye tamu kuzidi asali....
Ninayejua kupenda na kustiri ndani...
Kuongeza mwingine sidhani japo naruhusiwa na dini...
Mazoea matamu usije niacha honey...!

Kibwagizo: (Rudia x2)

Nawe darling...
Upate japo gari....
Uwe ng'aring'ari...
Ufurahi...


Verse IV:
 
Nikupeleke Dubai ufanye shopping ya dollari, eeeh..
Ukirudi ujidahi ntakuficha Zanzibari, eeeh...!

Kibwagizo: (Rudia x2)

Nawe darling...
Upate upepo wa bahari....
Uwe ng'aring'ari...
Ufurahi...!

Kiitikio: (Rudia x2)

L.O.V.E.Y.O.U I Love You, Love You Baby, I Love You, Love You Baby...
L.O.V.E.Y.O.U I Love You, Love You Baby, I Love You, Love You Baby...
L.O.V.E.Y.O.U I Love You, I Love You...!I Love You, I Love You, I Love You, I Love You, I Love You, I Love You, I Love You, I Love You...!

Audio track ya wimbo wa Kassim Mganga I Love You hii hapa...! 


read more "I Love You (Mashairi & Wimbo) By Kassim Mganga a.k.a Tajiri Wa Mahaba"