Mwanamuziki Miley Cyrus Ajiachi Utupu kwa Ajili ya Kampeni


Miley Cyrus kupitia mtandao wa Twitter mnamo siku ya Alhamisi usiku alizungumzia juu ya kolabo lake na Marc Jacobs kwenye kampeni ya Linda Ngozi yako, kampeni ambayo inahusika na kukusanya hela kwa ajili ya Taasisi ya Kansa ya Chuo Kikuuu cha New York.
 
Ni picha ambayo aliitumia kwenye tweet hiyo na taarifa hiyo ndiyo ambayo imeonekana kushika vichwa vya watu zaidi kutokana na mazingira yake.

Siku za karibuni nyota huyo amekuwa kwenye kampeni hiyo, ila picha iliyotumika kwenye T-shirt hiyo imekuwa ya utupu ikishindwa kuziba sehemu zake za kike.

Picha iliyotumika ku-tweet ujumbe wa Cyrus
 

No comments:

Post a Comment