Daktari Aliyempa Michael Jackson Vidonge Vilivyosababisha Kifo Chake Kuwa Huru Mwezi Oktoba

Marehemu Michael Jackson
Dr. Conrad Murray anatagemea kuwa huru toka jela itakapofika mwezi October. Daktari huyu alikutwa na hatia ya kumpa dawa ambazo zilichangia kupelekea kifo cha aliyekuwa nyota wa muziki wa pop Michael Jackson.

Daktari wa Michael Jackson anatategemea toka jela katika kipindi cha miezi mitatu ijayo, wakili wake alisema.

Conrad Murray anategemea kuwa mtu huru mnamo Oct. 28 ambapo ni chini ya miaka miwili toka alipofungwa kutokana na kumpa aliyekuwa nguli wa muziki wa pop Michael Jackson dawa zilizopelekea kusababisha kifo chake.


Murray, 61, alikutwa na hatia na kutumikia kifungo hicho mnamo mwezi November 2011.

No comments:

Post a Comment