Oprah Akamata Nafasi ya Kwanza ya Watu Maarufu Wenye Nguvu na Mkwanja

Oprah Winfrey
Mwanamama billionea toka nchini Marekani Oprah Winfrey amerudi kwenye kilele na kuwa namba moja moingoni mwa watu maarufu wenye nguvu na mkwanja zaidi duniani, na hii ni kwa mujibu wa Forbes.

Miaka ya nyuma Oprah aliwahi kuikamata hiyo kwa mara nne na alikuwa kwenye nafasi ya pili kwa mwaka 2011 na 2012.

Forbes huwa wanahesabu kipato ambacho watu mashuhuri huingiza kutokana na ziara zao, mikataba, vitabu, uwekezaji, filamu nk. pamoja na matangazo mbalimbali wananyoyafanya.

Angalia orodha kamili hapa chini...

1. Oprah Winfrey $77m
2. Lady Gaga $80m
3. Steven Spielberg $100m
4. Beyonce $53m
5. Madonna $125m
6.Taylor Swift $55m
7. Jon Bon Jovi $79m
8. Roger Federer $71m
9. Justin Bieber $58m
10. Ellen DeGeneres $56m
11. Hugh Jackman $55m
12. Jennifer Lopez $45m
13. Rihanna $43m
14. Coldplay $64m
15.
 Tiger Woods $78m
16. LeBron James $60m
17. Simon Cowell $95m
18. Katy Perry $39m
19. David Beckham $47m
20. Robert Downey Jnr $75m

No comments:

Post a Comment