Hali ya Mandela ni Tete - Anaishi kwa Msaada wa Mashine

Nelson Mandela
Mpiganaji wa ubaguzi wa rangi na shujaa wa weusi wa Afrika Kusini Mzee Nelson Mandela kwa sasa anaishi kwa msaada wa mashine, kwa maana hawezi kupumua kwa uwezo wake, kiongozi toka ukoo wa wao amesema hayo hapo jana, ila akazungumzia pia suala la matumaini kjuu ya kupona kwake.
 
“Ndio anatumia mashine kupumua,” Napilisi Mandela aliieleza AFP baada ya kumtembelea kiongozi huyo anayependwa na wengi ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 94 huku akiwa maelazwa jijini Pretoria.

“Hali ni mbaya, ila ni kipi tutafanya.” alisema Napilisi.

No comments:

Post a Comment