Ukichaa wa Nicky Minaj Kwenye Picha Akinyonya na Kushikilia Titi [PICHA]

Dizaini kama anamuita Lil Wayne hivi kimtindo, wewe unaonaje...

Kumetokea kuwepo kwa mashindano mengi ya kijinga mojawapo ni hili la nyota wengi kupiga picha zikionyesha utupu wao au mambo ya ajabu wanayoyafanya, wa kwanza alikuwa ni Miley Cyrus, akafata Maheedah na Nicki sasa ameingia kwenye shindano.


Safari hii hajaonyesha ngozi wa mwili wake kihivyo bali amepiga picha akiwa kwenye pozi tofauti na matata sana.... Moja ilimuonyesha akiwa ananyonya vidole vyake na nyingine ikimuonyesha ameshikilia titi lake...

Cheki picha hapo chini....




No comments:

Post a Comment