Top Ten ya Uhamisho wa Wachezaji wa Soka kwa Mwaka 2013

Mwaka 2013 ndio unaishia, hivyo nami nimeamua kukupa listi ya uhamisho wa wachezaji 10 wa mpira wa miguu kwa mwaka huu, kutoka English Premier League, La Liga mpaka Bundeliga na French League.

Huu ni usajili ulioweka gumzo zaidi kwa mwaka huu.
(1) Gareth Bale
(Tottenham Hotspur kwenda Real Madrid)
£85million/£100million

(2) Edinson Cavani
(Napoli kwenda Paris Saint-Germain)
£55million / €64.5 million

(3) Radamel Falcao
(Atletico Madrid kwenda AS Monaco)
£52m/ €60m

(4) Neymar
(Santos kwenda Barcelona)
£48.6 million / €57 million
 

(5) Mesut Ozil
(Real Madrid kwenda Arsenal)
£42.4 million / €50 million

(6) James Rodriguez
(FC Porto kwenda AS Monaco)
£38.5 million / €45 million


(7) Gonzalo Higuain
(Real Madrid kwenda Napoli)
£34.5 million / €39 million


(8) Fernandinho
(Shakhtar Donetsk kwenda Manchester City)
£34 million / €40 million
 

9) Mario Gotze
(Borussia Dortmund kwenda Bayern Munich)
£31.5 million / €37 million


(10) Willian
(Anzhi Makhachkala kwenda Chelsea)
£30 million / €35.4 million

No comments:

Post a Comment