Mwanaume Anayemla Uroda Muwakilishi wa Nigeria Ndani ya Jumba la BBA Kumbe Ana Mpenzi

Angelo na Demu Wake
Angelo, muwakilishi wa Afrika Kusini kwenye jumba la Big Brother Africa ambaye amekuwa akifanya mapenzi na muwakilishi wa Nigeria aitwaye Beverly Osu usiku na mchana, mbele na nyuma, ukweli ni kwamba jamaa yupo kwenye mahusiano na mwanamitindo mmoja mrembo.

Na ndiyo maana pale Beverly alipomuuliza kama anaweza kuwa na mwanamke kama yeye, Angelo alisema kwamba hawezi kusema kama ataweza endelea kuwa naye akiwa nje ya BBA, na licha ya kujibiwa hivyo Beverly aliendelea mbele na kuamua kumtanulia miguu jamaa.


Chini pale angalia meseji za kimapenzi ambazo Angelo amewahi kuziandika kwa mschana wake:
Demu wa Angelo

Tweets za Angelo Alizokuwa Akimtumia Demu Wake

No comments:

Post a Comment