Siipendi Sauti Yangu - Beyonce Afunguka

 
Kwenye mahojiano aliyofanya hivi karibuni nchini Australia, nyota na mwanamuziki mwenye umri wa miaka 31, Beyonce amefunguka na kusema kwamba huwa haipendi sauti yake.

"Sipendi kuwa najisikia nikiongea," alisema. "Nadhani kila mmoja yupo hivyo. Naisikia sauti yangu ndogo na ya kijinga ikiwa inatoka kwa msichana huyu wa ukweli, nipo hivyo na ni kitu cha kushangaza, ila nakipenda."

Beyonce pia hivi karibuni amezianika picha za mwanae, Blue Ivy.

Cheki hapo chini;

No comments:

Post a Comment