Cheki Fasheni Zinavyowaponza Dada Zetu..

 
Siku chache zilizopita niliandika juu ya habari moja kuhusiana na msichana ambaye alituma barua kwangu kutaka ushauri wenu juu ya jamaa yake ambaye alimtema kwa sababu tu yakuweka picha zinazoonyesha maungo ya mwili wake kwenye facebook.

Tabia hii inaonekana kushika kasi kwa wasichana wengi wanajiona kama wanakwenda na fasheni kumbe hawajui ni jinsi gani jamii inawachukulia.

Hebu cheki picha hizi kama mfano....
 
 
Je unaweza kukubali mtu anayekuhusu avae au kuwa kwenye staili kama hizi....?

No comments:

Post a Comment