Jamaa Amnyoga Mpenzi Wake Na Kisha Kukimbia Jijini Mwanza

Haya Ni Matukio Ya Kusikitisha
Mwanamke mmoja anayejulikana kwa jina la Winfrida Simon amenyongwa na mpenzi wake anayejulikana kwa jina la Juma Marwa katika eneo la Bugarikwa lililopo nje kidogo la jiji la Mwanza.

Mwanaume huyo alitoweka baada ya kufanya kitendo hicho na jeshi la polisi hivi sasa linamsaka kutokana na mauaji hayo.

Taarifa zaidi kufata …………

No comments:

Post a Comment