Balotelli: Kama Madrid Watawafunga Na Kuwatoa Dortmund, Nitaruhusi Mpenzi Wangu Alale Nao

 
Balotelli Na Demu Wake
Mchezaji huyo wa zamani wa Manchester City striker anaonekana kuwa na uhakika kwamba Dortmund watafanikiwa kufuzu kwenye michuano hiyo ya mabingwa Wa Ulaya, Balotelli amesema ataruhusu kikosi kizima cha timu hiyo ya Hispania kulala na mchumba wake, kama wataweza kuwafunga na kuitoa timu hiyo ya ujerumanai.

Kwenye gazeti la Kispanish liitwalo AS and Marca, mchezaji huyo wa kimataifa wa Italia amenukuliwa akisema:  ‘Kama Real Madrid watatoka nyuma kwenye mechi hiyo ya Klabu Bingwa na kushinda, basi nitamruhusu demu wangu alale nao!’ alisema Balottelli.

Kwenye mechi iliyopita timu ya Dortmund iliikimbiza vibaya Real kwenye mchezo uliochezwa ndani ya uwanja wa Westfalen, huku wachezaji wao kama Robert Lewandowski, Mario Gotze na Marco Reus wakionekana kuisambaratisha vibaya beki ya Real.

No comments:

Post a Comment