Amanda Bynes Amshambulia Rihanna kwa Tweets za Kashfa

Mwanzoni Walikuwa Marafiki
AMANDA Bynes amemshambulia Rihanna mara baada muigizaji huyo wa Marekani kuandika maneno ya kashfa kwa Rihanna kupitia Twitter.

Rihanna mwenye umri wa miaka 25 alionekana kukasirishwa baada ya kukuta Tweet toka kwa Amanda iliyoandika “Rihanna ni mbaya anapojaribu kuwa mweupe”.

Huku ikiendelea kwa kusomeka inawezekana  muonekano wake ndio uliosababisha jamaa yake wa zamani Chris Brown amtukane akiandika: "Chris Brown alikupiga sababu wewe sio mzuri wa kutosha."

Amanda ambaye alikuwa ni rafiki wa karibu wa muimbaji huyo wa  Barbadian RiRi, alizifuta tweets zake muda mchache mara baada ya kuzituma, kipindi ambacho tayari Rihanna alishaziona na kurudisha maneno yaliyosema: “Angalia nini huja kutokea pale wanapositisha kujihusisha?” akijaribu kukumbushia kipindi kimoja cha TV nchini Marekani ambacho vijana wenye matatizo husaidiwa katika kuwawekwa sawa pale ambapo wanaonekana kuwa wamepotea.

Soma chini Tweets za Amanda kwa Rihanna:

read more "Amanda Bynes Amshambulia Rihanna kwa Tweets za Kashfa"

Beckham Awanunulia Magari Mama Na Mkwe Wake Kama Zawadi Ya Kuwashukuru Kutunza Watoto Wake

Sandra na Jackie wakiwa na Watoto wa Beckham
DAVID Beckham amenunua magari mawili yenye thamani ya Paundi 30,000 kwa mama yake mzazi na mama mkwe wake katika hali ya kuwashukuru kwa walivyomsaidia katika kipindi chote alichokuwa anacheza mpira.
 
Wiki iliyopita Becks, 38, alinunua gari za aina ya Audi Q3s na kuzituma moja kwa mama yake aitwaye Sandra na lingine kwa mama wa mke wake Victoria aitwaye Jackie Adams.

Zilikuwa ni zawadi za kushtukiza katika kuwashukuru kwa kwa jinsi walivyoweza kuwasaidia kwa miaka yote kuwalea watoto wao na kuzunguka nao pande mbalimbali za Dunia, hii yote ni katika hali ya kumuunga mkono yeye na mkewe Posh, 39, katika kipindi ambacho kazi zao ziliwataka waende mbali.

Magari ya Sandra na Jackie
read more "Beckham Awanunulia Magari Mama Na Mkwe Wake Kama Zawadi Ya Kuwashukuru Kutunza Watoto Wake"

Awamu Ya 8 Big Brother Africa: "The Chase" Imeanza! Hawa Ndio Washiriki 28

 
Shindano la Big Brother Africa limeanza, safari hii likijulikana kama "The Chase" huku Tanzania ikiwa imeingiza washiriki wawili Feza na Nando.
 
Kama hujapata nafasi ya kuwaona hawa ndio washiriki 28 wa Shindano hilo maarufu Africa na Duniani kwa ujumla...
 
Feza – Tanzania
 
Nando – Tanzania
 
Pokello – Zimbabwe
 
LK4 – Uganda
 
Selly – Ghana (Yupo Kwenye Mahusiano)
Bassey – SierraLeone
Dellish – Namibia
Angelo – South Africa (Sio Muaminifu kwa Mwanamke)
Fatima – Malawi
 
Huddah – Kenya
Bimp – Ethiopia
Motamma – Botswana (Miss Dunia Utalii)
Neyll- Angola
Beverly – Nigeria
Sulu – Zambia
Cleo – Zambia
O’Neal – Botswana
Maria- Namibia
Melvin – Nigeria
Natasha – Malawi
Biguesas – Angola
Elikem – Ghana
Betty – Ethiopia
Bolt – Sierra Leone
Annabel – Kenya
Denzel – Uganda
Koketso – South Africa
Hakeem – Zimbabwe
 
read more "Awamu Ya 8 Big Brother Africa: "The Chase" Imeanza! Hawa Ndio Washiriki 28"