Top 10 Music Video za Kinigeria Zinazoongoza kutazamwa zaidi kwenye Youtube

P-Square
1. P-Square - Do
 Me 8,190,758 views

2. P-Square ft. Akon & May D - Chop My Money
 7,858,903 views

3. D'Banj - Oliver Twist
 5,035,658 views

4. Flavour - Nwa Baby (Ashawo Remix) Video
 4,457,160 views

5. P-Square - Beautiful Onyinye ft. Rick Ross [Official Video]
 3, 729, 635 views

6. P Square Ft J. Martins E No Easy (Official Video)
 2,912,350 views

7. Flavour - Oyi Remix ft. Tiwa Savage [Video]
 2,231,915 views

8. 5.Bracket - Girl Ft. Wizkid 3,208,276 views

9. VConnect Fever Video 2,018,238 views

10. P-Square - Forever
 1,906,905 views
read more "Top 10 Music Video za Kinigeria Zinazoongoza kutazamwa zaidi kwenye Youtube"

Q&A na Aunty Lulu: Aliyefungashia

Pozi tofauti
Q&A
 
AMEPATAJE MAKALIO HAYO?
“Makalio yangu nimeyarithi kutoka kwa mama yangu mzazi, japokuwa nikiwa mdogo nilikuwa mwembamba lakini nilivyokuwa mtu mzima ndiyo limekuja lenyewe hivi kama unavyoliona.”
USUMBUFU ANAOKUTANA NAO
“Napata usumbufu mkubwa sana, kila ninakopita wanaume wananiita pia nimekuwa nikipata mialiko mingi sana kutoka kwa wanaume wa sehemu  mbalimbali ambao hata siwafahamu.”
 
Kwenye pozi Kitandani
 JE, ANATAMANI KUPUNGUA?
“Weeee……thubutu! Sitamani hata kidogo kupungua kwa sababu makalio yangu nayapenda sana, pia yananipa faraja kubwa yaani Mungu amenipendelea.”
KUHUSU MAVAZI YAKE
“Napenda kuvaa nguo zinazoachia mwili wangu kama gauni, huwa najisikia niko huru zaidi.
SAIZI YA NGUO YA NDANI
“Sijui saizi ninayovaa maana sivaagi kufuli kwa sababu nikivaa huwa najikuna sana kutokana na hali ya joto.”

CHANZO: Global Publishers
read more "Q&A na Aunty Lulu: Aliyefungashia"

Koffi afikishwa kwa Pilato

Koffi Olomide
Mwanamuzi mashuhuri nchini kongo(DRC) Anton Akgeba Makila Mabe maarufu pia kama Koffi Olomide aka Mopao Mokonzi, Aswekwa lupango na pia kafikishwa kwa Pilato
Mwanamuziki huyo alikamatwa na kufungiwa katika kituo cha polisi na kufikishwa mahakamani jumatano.
Koffi alikamatwa kufuatia vurugu katika hoteli moja mjini Kinshasa.
Waandishi wa habari wanasema mahakama hiyo ya Kinishasa ilifurika kutokana na watu wengi kuja kumuona kiongozi huyo wa bendi ya Quartier Latin akiwa kizimbani.
Kesi hiyo iliharishwa hadi Alhamisi asubuhi wakati atakaposhitakiwa rasmi.
Wakati wa kesi hiyo hapo jana Koffi Olomide aliwakilishwa na mawakili 10.
Ugomvi kati ya mwanamuziki huyo na mtayarishi wake Bwana , Diego Lubaki, ni kuhusu pesa dola $3,680.
Hakimu alimfahamisha mwanamuziki huyo ikiwa atapatikana na hatia huenda akafungwa jela miezi sita.
Olomide ni gwiji wa muziki aina ya "soukous", mtindo ulitokana na jina la kifaransa "secouer", lenye maana ya kujitikisa au kujinengua ,na wachezaji wake vile vile wanatambulika kwa kunengua maungo.

read more "Koffi afikishwa kwa Pilato"