Tuzo za American Music 2013: Kwenye Red Carpet na Picha Kibao + Listi ya Washindi

Justine Tmberlake
Tuzo za American Music 2013 zilifanyika jana Nov. 24, kwenye ukumbi wa Nokia Theatre uliopo ndani ya Los Angeles. Picha juu na chini zinamuonyesha Rihanna (ambaye alishinda tuzo ya icon) pia wapo Lady Gaga na Jennifer Lopez. 

Rihanna
J Lo
Lady Gaga
Angalia picha zaidi picha kwenye red carpet wakihusishwa wasanii na nyota kibao walioshinda tuzo tofauti...
Miley Cyrus

Jeniffer Hudson
Christina Aguilera

Jordan Sparks
Lil Mama
Chilli & T-Boz wa TLC

Ciara
2 Chainz
Lady Gaga

R. Kelly


No comments:

Post a Comment