Nilitaka Kumuuwa Mmoja Kati ya Wachezaji Wangu Nilipokuwa Chelsea – Carlo Ancelotti

Carlo Ancelotti
Carlo Ancelotti anasema kuwa alishawahi "kutaka kumuuwa" mmoja kati ya wachezaji wake katika kipindi alichokuwa akifundisha timu ya Chelsea. 

Jamaa huyo mwenye umri wa miaka 54 alikuwa ni meneja wa timu hiyo toka Stamford Bridge kwa misimu miwili kabla ya kupigwa chini na na mmiliki wa timu hiyo Roman Abramovich mnamo mwaka 2011.

“Mchezaji mmoja hakuonyesha nidhamu na nilijaribu kumuuwa ila hakikuwa ni kitu kinachowezekana. “Wachezaji ni mali ya club na wakati mwengine huwezi kufanya kile unachokitaka.” 

Je unadhani ni mchezaji gani ambaye kocha huyu alitaka kumuuwa...?

No comments:

Post a Comment