Amini: Wimbo Wangu wa Usinipe Robo Ulivuja Ila Sitousimamisha [AUDIO]


Msanii wa muziki wa Kizazi Kipya toka THT Amini, amesema wimbo wake uliotoka hivi karibuni uitwao Usinipe Robo ni wimbo ambao ulivuja.

Mwanamziki huyo alisema hayo wakati anazungumza na kipindi cha The Takeover cha TBC fm, " kwanza kabisa huo wimbo umevuja na upo kwenye ma-blog ya watu, ma-website hivyo sitousimamisha kwa sababu nimeshapigiwa simu na watu kadhaa na wameupenda wimbo" alisema Amini.

Sikiliza mahojiano kamili kwenye Insert hapo chini...

No comments:

Post a Comment