Mtu Mrefu Kuliko Wote Duniani Sultan Kosen Afunga Ndoa Uturuki (PICHA)

Hakika hili ni jambo la heri na kuvutia kwa namna moja ama nyingine, ama sivyo Sultan Kosen angeweza kuwa na wakati mgumu kuweza kumpata mwanamke ambaye wangeweza endana ili waweze kuishi naye maishani.

Mtu huyu mrefu kuliko wote duniani ana urefu wa mita 2.51 zaidi ambazo ni sawa na futi mbili na inchi saba ambazo amemzidi mwanamke aliyemuoa aitwaye Merve Dibo.

Jamaa huyu ambaye ni mkulima wa nchini Uturuki alifunga ndoa iliyofuatiwa na sherehe kubwa mwishoni mwa juma, hakika ni furaha sana kwake mara baada ya kupoteza tumaini kwa muda mrefu kama angeweza kuja kumpata atakayempenda.





No comments:

Post a Comment