Je Umeshawahi Kumuona Cheetah Akicheza Mpira wa Miguu...? Huyu Hapa... (PICHA)

Aina hizi za Cheetah wanaocheza mpira wa miguu huwa hawana haja ya kufata sheria rasmi za mchezo huo. Wageni kwenye Lodge ya Akwaaba iliyoyo Rustenburg, Afrika Kusini hufanikiwa kuona vipaji vya paka hawa wakubwa kwenye sehemu ya wazi ya eneo hilo.

Cheetah hawa ambao ni kaka na dada wanaojulikana kwa majina ya Lucky na Leila wameishi na kukuzwa na binadamu toka walipokuwa wadogo mpaka sasa wakiwa na uwezo wa kukimbia kilometa 70 kwa saa.

Wanyama hawa wenye umri wa miaka minne sasa mbali ya uwezo wa kukimbia kwa kasi pia wana uwezo wa kupokea pasi, kukokota mpira na kutoa pasi.

Chini ni maelezo kwa picha.....

READ MORE:  http://news.naij.com/42286.html







No comments:

Post a Comment