Friday DADAz Nite Ndani ya GALAPO Club MASAI Ilala Usiku wa Leo (Ijumaa)

 Friday DADAZ NiTe is Back.. @GALAPO Club MASAI (Ilala)
Ijumaa HII na kila IJUMAA kwa Warembo na Ma'staa wa Bongo..
Usiku wa LEO Swagga ni WEWE kwa YAKO ITUPIE utakavyo...
Ngoma KaLi kwenye Milazo ya Kufa Mtu na Dj Mickie Love (Michael Saduka) na Dan Chibo Mpk CHWEEE....
Kama KaWa DADAz ni FREE na KAKAz ni Bk/-4 tu...


Ni Kuanzia saa 3 Usiku, Legoooo.....!

No comments:

Post a Comment