Pep Guardiola Anafahamu Changamoto Inayomkabili Bayern Munich

Pep Guardiola
Pep Guardiola anaamini kwamba yupo kwenye wakati mgumu akiwa na klabu ya Bayern Munich kuweza kuyafikia na kuyapita mafanikio yaliyowekwa na na anayemrithi Jupp Heynckes.

Meneja huyo mwenye umri wa miaka 42 alikuwa akiongea kwa mara ya kwanza na waandishi wa habari kama kocha mpya wa washindi wa makombe matatu.
 
"Nategemea kuendeleza kiwango cha timu kiuchezaji kama ilivyokuwa msimu ilioisha," alisema Guardiola, ambaye aliwahi kustwaa mataji manne ndani ya msimu mmoja akiwa na Barcelona.

No comments:

Post a Comment