Mkali wa Basketball Alipokutana na Wakali wa Football Brazil


Kobe Bryant mkali wa mchezo wa mpira wa kikapu kwenye ligi maarufu ya NBA akiwa anachezea timu ya LA Lakers, hapa akiwa kwenye picha tofauti na wakali wa mpira wa miguu akiwamo Balotelli, Neymer na Dan Alves.

Hapa ni baada kutembelea vyumba vya wachezaji mara baada ya kuisha kwa mechi ya Brazil na Italy kwenye michuano ya Confideratio Cup huku Brazil ikitoka na ushindi wa magoli 4-2 dhidi ya Italy.



No comments:

Post a Comment