Picha: Ronaldo Akana Kumsaliti Demu Wake Na Miss Bum Bum Wa Brazil

Mshambuliaji Mreno na mchezaji wa klabu ya Real Madrid ya Hispania amekanusha habari kwamba alimsaliti mchumba wake na modo wa Brazil, Andressa Urach.
 
Andressa ambaye kwa sasa anashikiila taji la Brazil “Miss Bum Bum” juzi kati alisema kwamba, Ronaldo alimpigia simu baada ya kupata namba yake toka kwa rafiki anayehafamiana nae, kisha akamuomba wakutane kwenye hotel siku ya Jumatatu ya April 22 na wawili hao kuishia kwa kufanya ngono.
 
Cristiano anakanusha na kwa kupita urasa wake wa twitter ali-tweet haya kupinga shutuma hizo:





 

No comments:

Post a Comment