Dadaz Nite Full Charge

Ni Mcharuko wa DADAZ  Nite ndani ya Galapo Club Masai Ilala,
Huku ukirudi ukiwa na Full Charge..!
Chini ya MILAZO one TWO ikianzia IJUMAA hii na kila IJUMAA..!
Kutakuwa na SHINDANO la wa'DADAz toka kitaa..!
Disco na GUEST Dj Mickie Love, Dan Chibo & Dj Fax..!
Kiingilio: Dadaz ni FREE & Kakaz ni bk 4 tu..!

Na kuanzia Jumapili hii na kila Jumapili MILAZO One TWO Inatambulisha kwenu JUMAPILI ya WABISHI wa TOWN..!
Je wewe ni MBISHI, KIBISHIBISHI ungana WENZA, huku ukipata ngoma kali sambamba na SHOW toka kwa WASANII..!
Kiingilio: Wanaume watalipa bk3 na wakipata KUPONI ya BIA MOJA ndani,
Wanawake wataingia bure, Karibu.

Inaletwa kwenu na MILAZO one two..!

No comments:

Post a Comment